Waziri wa elimu nchini Kenya,Ezekiel Machogu ameweka wazi kuwa matokeo ya mitihani ya darasa la nane KCPE iliyokamilika mwanzoni mwa mwezi wa Desemba yatatangazwa wiki kesho. Machogu alisema kuwa wizara yake …
Mwanamume mmoja raia wa Libya anayetuhumiwa kutengeneza bomu lililoharibu ndege ya Shirika la Pan Am Disemba 21, 1988, amekamatwa nchini Marekani. Ndege hiyo, Boeing 747, ilikuwa ikielekea New York kutoka London ililipuka ikiwa angani …
Msanii mkongwe wa miziki aina ya Rhumba kutoka taifa la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Tshala Muana ameaga dunia. Taarifa hizo za tanzia kutoka taifa hilo zilisambazwa kote duniani …
Maafisa wa Upelelezi wanamsaka mwanamume wa umri wa miaka 31 ambaye anadaiwa kumuua kakake mkubwa katika kisa cha madai ya ugomvi wa kimapenzi unaohusisha dada yao mdogo katika eneo la …
Members of the Fourth Estate have called upon the national government to intervene and bail out some media houses going through restructuring to cope with the turbulent economic times. …
Wanawake watatu kutoka Lwanda,kaunti ya Vihiga wamepigwa na radhi hadi kufa . Mvua kubwa ilikuwa inanyesha hivyo wanawake hao walikuwa kwenye kibanda kando ya barabara wakati tukio hilo lilitokea siku ya …
Polisi wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 30 anayesemekana kuwa ndiye mpangaji mkuu wa shambulio baya la maiti na gari la kubebea maiti la Yatta Funeral Home iliyoko Machakos …
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi katika eneo la Kaloleni wilayani Songwe nchini Tanzania kwa kumuua mwanamke,kuukata kata mwili wake na kuuchoma moto kisha kuula kama mshikaki. Kwa mujibu wa …
Kenya ni kitovu cha vipaji, jambo ambalo halina mjadala. Mamilioni ya vijana wa Kenya wamebarikiwa kuwa na vipaji mbalimbali kuanzia muziki, kandanda, uigizaji, na kucheza dansi, riadha, miongoni mwa …
Tuzo za E360 za awamu ya 4 za mwaka 2022 zinatarajiwa kufanyika hivi karibuni ambapo bado watu mbalimbali wanaruhusiwa kuendelea kutuma mawasilisho ya kuteuliwa. Uongozi wa tuzo hizi umetangaza …