Login 0 items - KSh 0.00

trifammedia

Menu
  • Home
  • Entertainment
    • Music
    • Movies
  • Swahili
    • Kenya
    • East Africa
    • World
  • Shop At Trifam
    • Handbags
    • Tshirts
    • Hoods
  • Opinion
  • parenting
  • Business
    • Companies
    • Economy
    • Markets
    • Money
    • Tech
  • Sports

Matokeo ya Mtihani wa KCPE wa 2022 kutangazwa wiki kesho

trifammediateam December 12, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Matokeo ya Mtihani wa KCPE wa 2022 kutangazwa wiki kesho</strong>
Waziri wa elimu nchini Kenya,Ezekiel Machogu ameweka wazi kuwa matokeo ya mitihani ya darasa la nane KCPE iliyokamilika mwanzoni mwa mwezi wa Desemba yatatangazwa wiki kesho. Machogu alisema kuwa wizara yake …
[Continue Reading...]

Mmoja wa washukiwa waliotengeneza bomu lililolipua ndege angani amekamatwa.

trifammediateam December 12, 2022 Swahili No Comments
Mmoja wa washukiwa waliotengeneza bomu lililolipua ndege angani amekamatwa.
Mwanamume mmoja raia wa Libya anayetuhumiwa kutengeneza bomu lililoharibu ndege ya Shirika la Pan Am Disemba 21, 1988, amekamatwa nchini Marekani. Ndege hiyo, Boeing 747, ilikuwa ikielekea New York kutoka London  ililipuka ikiwa angani …
[Continue Reading...]

Tshala Muana Mwanamziki Mkongwe Aaga Dunia

trifammediateam December 10, 2022 Entertainment News, Swahili No Comments
<strong>Tshala Muana Mwanamziki Mkongwe Aaga Dunia</strong>
Msanii mkongwe wa miziki aina ya Rhumba kutoka taifa la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Tshala Muana ameaga dunia. Taarifa hizo za tanzia kutoka taifa hilo zilisambazwa kote duniani …
[Continue Reading...]

Amuua kakake baada ya kupigana, kugombania dada yao waliokuwa na uhusiano wa kimapenzi nae

trifammediateam December 6, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Amuua kakake baada ya kupigana, kugombania dada yao waliokuwa na uhusiano wa kimapenzi nae</strong>
Maafisa wa Upelelezi wanamsaka mwanamume wa umri wa miaka 31 ambaye anadaiwa kumuua kakake mkubwa katika kisa cha madai ya ugomvi wa kimapenzi unaohusisha dada yao mdogo katika eneo la …
[Continue Reading...]

Journalists’ cry to Kenya Kwanza Government

trifammediateam December 5, 2022 Kenya No Comments
Journalists’ cry to Kenya Kwanza Government
Members of the Fourth Estate have called upon the national government to intervene and bail out some media houses going through restructuring to cope with the turbulent economic times. …
[Continue Reading...]

Wanawake watatu wapigwa na radi hadi kufa Vihiga

trifammediateam December 5, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Wanawake watatu wapigwa na radi hadi kufa Vihiga</strong>
Wanawake watatu kutoka Lwanda,kaunti ya Vihiga wamepigwa na radhi hadi kufa . Mvua kubwa ilikuwa inanyesha hivyo wanawake hao walikuwa kwenye kibanda kando ya barabara wakati tukio hilo lilitokea siku ya …
[Continue Reading...]

Akamatwa Kwa kushambulia maiti

trifammediateam November 29, 2022 Kenya, Swahili No Comments
Akamatwa Kwa kushambulia maiti
Polisi wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 30 anayesemekana kuwa ndiye mpangaji mkuu wa shambulio baya la maiti na gari la kubebea maiti la Yatta Funeral Home iliyoko Machakos …
[Continue Reading...]

Amuua Mwanamke kwa kumkata kata kisha kuchoma mwili wake na kula kama mshikaki

trifammediateam November 15, 2022 Swahili, Tanzania No Comments
<em>Amuua Mwanamke kwa kumkata kata kisha kuchoma mwili wake na kula kama mshikaki </em><em></em>
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi katika eneo la Kaloleni wilayani Songwe nchini Tanzania kwa kumuua mwanamke,kuukata kata mwili wake na kuuchoma moto kisha kuula kama mshikaki. Kwa mujibu wa …
[Continue Reading...]

Vibes and Benali live yawapa vijana jukwaa la kutangaza talanta zao.

trifammediateam November 15, 2022 Entertainment News, Kenya, Swahili No Comments
<strong>Vibes and Benali live yawapa vijana jukwaa la kutangaza talanta zao.</strong>
Kenya ni kitovu cha vipaji, jambo ambalo halina mjadala. Mamilioni ya vijana wa Kenya wamebarikiwa kuwa na vipaji mbalimbali kuanzia muziki, kandanda, uigizaji, na kucheza dansi, riadha, miongoni mwa …
[Continue Reading...]

Mawasilisho (Submissions) ya Tuzo za E360 za Awamu ya 4 za Mwaka 2022 Kuendelea.

trifammediateam November 14, 2022 Entertainment News, Kenya, Swahili No Comments
Mawasilisho (Submissions) ya Tuzo za E360 za Awamu ya 4 za Mwaka 2022 Kuendelea.
Tuzo za E360 za awamu ya 4 za mwaka 2022 zinatarajiwa kufanyika hivi karibuni ambapo bado watu mbalimbali wanaruhusiwa kuendelea kutuma mawasilisho ya kuteuliwa. Uongozi wa tuzo hizi umetangaza …
[Continue Reading...]
  • Previous
  • Next

JUMIA EXPRESS FASHION"

Recent Posts

  • Wachezaji Wawili Wafariki Baada ya Kupigwa na Radi Wakati wa Mechi ya Soka Mjini Kisii
  • Mapenzi Chungu Kwa Mwanaume,60, Yaliyosababisha Kifo
  • Mjue Mbunge wa Kwanza Mwanamke nchini Kenya.
  • Mwalimu aliyekiri kunyonga wanawe 4 Naivasha-Kenya ahukumiwa maisha Jela.
  • Afisa wa Polisi wa Trafiki Afariki Baada ya Dereva Kumkanyaga, Mombasa
EVERYTHING ON JUMIA"

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • January 2022

Categories

  • Business
  • Companies
  • Economy
  • Entertainment News
  • Kenya
  • Sports
  • Swahili
  • Tanzania
  • Tech

trifammedia Copyright © 2023.