Category: Tanzania
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4, 2023 wilayani Korogwe mkoani Tanga nchini Tanzania. Katika taarifa …
Mwanaume mmoja anashikiliwa na Polisi katika eneo la Kaloleni wilayani Songwe nchini Tanzania kwa kumuua mwanamke,kuukata kata mwili wake na kuuchoma moto kisha kuula kama mshikaki. Kwa mujibu wa …
Watoto tisa wa familia moja waungua moto kwenye nyumba walimokuwa wamelala, Musoma mjini nchini Tanzania. Moto huo ulizuka usiku wa kuamkia Novemba 5, 2022 na kuunguza watoto hao tisa …
Mahakama ya Wilaya ya Iringa nchini imemuhukumu mwanaume mmoja kifungo cha maisha mara mbili jela pamoja na kulipa fidia ya Sh5 milioni baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kulawiti …
Polisi Mkoa wa Njombe nchini Tanzania wanamshikilia mwanamke mmoja kwa tuhuma za kuwachoma watoto wake wawili na kuwasababishia madhara makubwa. Akizungumza na wanahabari mkoani Njombe Kamanda wa Polisi, Hamis Issah amesema …