Category: Kenya
Watu wanne walifariki na wanane bado wamelazwa hospitalini kufuatia kisa kinachoshukiwa kuwa na sumu kwenye chakula katika kaunti ndogo ya Kuria Magharibi, kaunti ya Migori. Kamanda wa polisi wa …
Mwanamume mwenye umri wa miaka 32 amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa jaribio la kuua kufuatia madai ya kumdunga mpenzi wake kisu shingoni. Mwanamme huyo David Njuguna akiwa amefikishwa mbele ya …
Hali ya wasiwasi ilitanda kijiji cha Tian katika Kaunti ya Baringo baada ya mwanaume kumuua kwa kumchoma kisu mwalimu wa shule ya sekondari ya chini. Chifu wa lokesheni ya …
Mganga wa kienyeji na mteja wake, mwanamke mwenye umri wa miaka 59, wote wamefariki baada ya kunywa mchanganyiko wa mimea yenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa, mkasa ulianza wakati …
Waziri wa Elimu nchini Kenya Ezekiel Machogu awataka walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari kuhakikisha masomo yanafanyika kwa muda wa saa sita pekee. Waziri wa Elimu Ezekiel …