Category: Sports
Wachezaji wawili wa kandanda waliuawa baada ya kupigwa na radi wakati wa mechi ya kirafiki eneo la Manyansi, eneo bunge la Kitutu Chache Kaskazini, Kaunti ya Kisii. Timu zinazoshindana-Manyansi …
Mashindano ya kombe la EURO 2021 kwa wanawake yanatarajiwa leo Jumatano (06.07.2022) England. Mechi ya ufunguzi itakuwa ni kati ya wenyeji England, The Lioness, na Austria. Mechi ya ufunguzi inachezwa Jumatano …
Kenya has been suspended from all international football competitions because of government interference, FIFA president Gianni Infantino has announced. The ban means no Kenyan team – including club sides …
Shabiki Mkongwe wa Harambee Stars na AFC Leopards Isaac Juma,58, ameaga dunia kufuatia shambulio la mshambuliaji nyumbani kwake kijijini Ebuyenjeri, Mumias, Kaunti ya Kakamega. Maafisa wanaoshughulikia suala hilo walisema uchunguzi wa awali …
Watu sita wameripotiwa kufariki na kadhaa kujeruhiwa katika msongamano mkubwa wa watu uliotokea nje ya uwanja unachezewa mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon. Kwa mujibu wa …