Category: Entertainment News
Msanii mkongwe wa miziki aina ya Rhumba kutoka taifa la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Tshala Muana ameaga dunia. Taarifa hizo za tanzia kutoka taifa hilo zilisambazwa kote duniani …
Kenya ni kitovu cha vipaji, jambo ambalo halina mjadala. Mamilioni ya vijana wa Kenya wamebarikiwa kuwa na vipaji mbalimbali kuanzia muziki, kandanda, uigizaji, na kucheza dansi, riadha, miongoni mwa …
Tuzo za E360 za awamu ya 4 za mwaka 2022 zinatarajiwa kufanyika hivi karibuni ambapo bado watu mbalimbali wanaruhusiwa kuendelea kutuma mawasilisho ya kuteuliwa. Uongozi wa tuzo hizi umetangaza …
Mwanamume wa Brazili amevunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa kuweza kuchomoza macho mbali zaidi. Sidney de Carvalho Mesquita, anayejulikana pia kama Tio Chic, alipata nafasi katika kitabu maarufu …
Afrika Wakawaka ni wimbo unaolizungumzia Bara la Afrika kwa jinsi lilivyobarikiwa kwa vivutio vingi, watu wenye upendo,jinsi tunavyouenzi utamadini wetu, ngoma zetu za asili, mavazi yetu ya asili na …