Author: trifammediateam
Wachezaji wawili wa kandanda waliuawa baada ya kupigwa na radi wakati wa mechi ya kirafiki eneo la Manyansi, eneo bunge la Kitutu Chache Kaskazini, Kaunti ya Kisii. Timu zinazoshindana-Manyansi …
Mzee wa miaka 60 huko Mwea, Kaunti ya Kirinyaga, nchini Kenya amejitoa uhai baada ya kudaiwa kugundua mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine wa miaka 24. …
Mbunge wa kwanza mwanamke nchini Kenya baada ya uhuru Mbunge Grace Onyango alifariki Jumatano, Machi 8. Binti yake Pauline Akwacha alithibitisha kuwa marehemu Mama Onyango alifariki akiwa na umri …
Mwalimu wa kike aliyewanyonga watoto wake wanne huko Naivasha Kenya miaka miwili iliyopita amehukumiwa na Mahakama Kuu kifungo cha maisha jela . Beatrice Mwende, ambaye alikuwa mwalimu wa Hisabati, alikuwa ameshtakiwa …
Afisa wa polisi wa trafiki mjini Mombasa ameaga dunia baada ya dereva aliyejaribu kukwepa kituo cha trafiki kumkanyaga Kwa gari. Kulingana na ripoti ya polisi mnamo Jumanne, Julius …