Author: trifammediateam
Kumekuwa na rekodi nyingi za dunia za Guinness tangu zamani lakini hivi majuzi watu tofauti wamekuwa wakijaribu kuweka rekodi mpya za aina yake. Baada ya Hilda Effiong Bassey, anayejulikana …
Watu wanne walifariki na wanane bado wamelazwa hospitalini kufuatia kisa kinachoshukiwa kuwa na sumu kwenye chakula katika kaunti ndogo ya Kuria Magharibi, kaunti ya Migori. Kamanda wa polisi wa …
Mwanamume mwenye umri wa miaka 32 amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa jaribio la kuua kufuatia madai ya kumdunga mpenzi wake kisu shingoni. Mwanamme huyo David Njuguna akiwa amefikishwa mbele ya …
Polisi nchini Korea Kusini wanasema wameomba hati ya kukamatwa kwa mwanamke anayetuhumiwa kuwaua watoto wake wawili wachanga na kuweka miili yao kwenye freezer kwa miaka mingi. Afisa wa Polisi …
Hali ya wasiwasi ilitanda kijiji cha Tian katika Kaunti ya Baringo baada ya mwanaume kumuua kwa kumchoma kisu mwalimu wa shule ya sekondari ya chini. Chifu wa lokesheni ya …