Month: June 2023
Mwanamume mwenye umri wa miaka 32 amefikishwa mahakamani na kushtakiwa kwa jaribio la kuua kufuatia madai ya kumdunga mpenzi wake kisu shingoni. Mwanamme huyo David Njuguna akiwa amefikishwa mbele ya …
Polisi nchini Korea Kusini wanasema wameomba hati ya kukamatwa kwa mwanamke anayetuhumiwa kuwaua watoto wake wawili wachanga na kuweka miili yao kwenye freezer kwa miaka mingi. Afisa wa Polisi …
Hali ya wasiwasi ilitanda kijiji cha Tian katika Kaunti ya Baringo baada ya mwanaume kumuua kwa kumchoma kisu mwalimu wa shule ya sekondari ya chini. Chifu wa lokesheni ya …
Mganga wa kienyeji na mteja wake, mwanamke mwenye umri wa miaka 59, wote wamefariki baada ya kunywa mchanganyiko wa mimea yenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa, mkasa ulianza wakati …
Waziri wa Elimu nchini Kenya Ezekiel Machogu awataka walimu wakuu wa shule za msingi na sekondari kuhakikisha masomo yanafanyika kwa muda wa saa sita pekee. Waziri wa Elimu Ezekiel …