Kila kaunti nchini katika kaunti 47 imechagua Mwakilishi wao wa wanawake ambao huhudumu katika bunge la kitaifa pamoja na wabunge wengine 290 waliochaguliwa kutoka maeneo bunge yote Kenya.
Hii ni orodha ya wawakilishi wa wanawake Bungeni waliochaguliwa katika uchaguzi wa Agosti 9, 2022.
001 Mombasa- Zamzam Mohamed(ODM)
002 Kwale-Fatuma Masito (ODM)
003 Kilifi- Gertrude Mwanyanje(ODM)
004 Tana River-Amina Dika Abdullahi (KANU)
005 Lamu-Muthoni Marubu(Independent)
006 Taita Taveta-Lydia Haika(UDA)
007 Garissa-Edo Udgoon Siyad (Jubilee)
008 Wajir-Fatuma Abdi (ODM)
009 Mandera-Ummul Kheir Khassim(UDM)
010 Marsabit-Naomi Wako(UDA)
011 Isiolo-Mumina Gollo Bonaya(Jubilee)
012 Meru-Elizabeth Karambu(UDA)
013 Tharaka Nithi -Susan Ngugi Mwindu(TSP)
014 Embu-Pamela Njeru(UDA)
015 Kitui-Irene Kasalu(Wiper)
016 Machakos-Joyce Kamene(Wiper)
017 Makueni- Rose Museo(Wiper)
018 Nyandarua-Faith Gitau(UDA)
019 Nyeri- Rahab Mukami (UDA)
020 Kirinyaga-Jane Njeri Maina(UDA)
021 Muranga- Betty Njeri Maina (UDA)
022 Kiambu-Anne Wamuratha(UDA)
023 Turkana-Cecilia Asinyen (UDA)
024 West Pokot-Rael Kasiwai(KUP)
025 Samburu-Pauline Lenguris (UDA)
026 Trans Nzoia-Lilian Sioyi(UDA)
027 Uasin Gishu – Gladys Shollei(UDA)
028 Elgeyo Marakwet-Caroline Ngelechei(Independent)
029 Nandi-Cynthia Muge(UDA)
030 Baringo-Florence Jematiah (UDA)
031 Laikipia-Jane Kagiri(UDA)
032 Nakuru -Liza CheluLE(UDA)
033 Narok-Rebecca Tonkei(UDA)
034 Kajiado-Leah Sankaire Sopiato(UDA)
035 Kericho-Beatrice Kemei(UDA)
036 Bomet – Linet Chepkorir Toto(UDA)
037 Kakamega-Elsie Muhanda(ODM)
038 Vihiga-Beatrice Adagala(ANC)
039 Bungoma-Catherine Wambilianga(FORD-K)
040 Busia-Catherine Omanyo(ODM)
041 Siaya – Christine Ombaka(ODM)
042 Kisumu -Ruth Odinga(ODM)
043 Homabay -Joyce Atieno Bensouda(ODM)
044 Migori – Fatuma Mohamed(Independent)
045 Kisii -Dorice Donya(Wiper)
046 Nyamira -Jerusha Momanyi(Jubilee)
047 Nairobi -Esther Passaris (ODM)