Login 0 items - KSh 0.00

trifammedia

Menu
  • Home
  • Entertainment
    • Music
    • Movies
  • Swahili
    • Kenya
    • East Africa
    • World
  • Shop At Trifam
    • Handbags
    • Tshirts
    • Hoods
  • Opinion
  • parenting
  • Business
    • Companies
    • Economy
    • Markets
    • Money
    • Tech
  • Sports

Tamasha la Kuendesha Baiskeli Uchi, Mwaka Huu Litafanyika Agosti 26.

trifammediateam May 6, 2023 Swahili No Comments
Tamasha la Kuendesha Baiskeli Uchi, Mwaka Huu Litafanyika Agosti 26.
Tamasha la kuendesha baiskeli uchi, mwaka Huu litafanyika Agosti 26.   Tamasha hilo la kuendesha baiskeli  uchi la Philly katika jimbo la Philadelphia la Marekani utafanyika Agosti 26. Waandalizi wa …
[Continue Reading...]

Watu kadhaa Wahofiwa Kufariki Kwenye Ajali ya Basi la Shule eneo la Kendu-Homa Bay.

trifammediateam May 5, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Watu kadhaa Wahofiwa Kufariki Kwenye Ajali ya Basi la Shule eneo la Kendu-Homa Bay.
Watu kadhaa wahofiwa kufariki baada ya ajali mbaya kutokea kwenye makutano ya Pala-Homa Hills kwenye barabara kuu ya Kendu-Homa Bay mnamo Ijumaa, Mei 5. Basi la shule liliripotiwa kubingiria …
[Continue Reading...]

Mwili wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara Umepatikana Kichakana

trifammediateam May 3, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Mwili wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara Umepatikana Kichakana
Mwili wa mwanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara mwenye umri wa miaka 20 umegunduliwa ukiwa kwenye kichaka mita chache kutoka katika taasisi hiyo iliyoko Narok. Kulingana na …
[Continue Reading...]

Basi La Kampuni ya Climax Lapata Ajali mjini Migori

trifammediateam May 2, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Basi La Kampuni ya Climax Lapata Ajali mjini Migori
Basi la abiria kampuni ya Climax limehusika katika ajali asubuhi ya leo Mei 2,2023 Migori,Kenya . Basi hilo la Climax Coaches lililo na maandishi ’THE DEVIL AWAY’ linalofanya safari …
[Continue Reading...]

Wanne Wafariki Baada ya Ndege Mbili Kugongana

trifammediateam April 30, 2023 Swahili No Comments
Wanne Wafariki Baada ya Ndege Mbili Kugongana
Ndege mbili ziligongana karibu na uwanja wa ndege kaskazini mashariki mwa Uhispania siku ya Jumapili, na kuua abiria wanne. Wazima moto walipata ndege moja ikiwaka moto katika eneo la …
[Continue Reading...]

Barabara ya Mai Mahiu-Narok Yafungwa Kutumika Baada ya kuwa na ufa.

trifammediateam April 30, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Barabara ya Mai Mahiu-Narok Yafungwa Kutumika Baada ya kuwa na ufa.
Mamlaka ya Kitaifa ya Barabara Kuu ya Kenya, KeNHA,  ilifunga barabara Kuu ya Mai Mahiu-Narok Jumapili 30 Aprili,2023. Kufungwa huko kulitokana na ufa mkubwa uliotokea Kilomita sita kutoka Mji wa …
[Continue Reading...]

Uvujaji wa gesi waua watu 11 katika mji wa India

trifammediateam April 30, 2023 Swahili No Comments
Uvujaji wa gesi waua watu 11 katika mji wa India
Takriban watu 11 wamefariki kufuatia kuvuja kwa gesi kaskazini mwa India, katika mji wa bandari wa Ludhiana katika jimbo la Punjab. Wafanyakazi wa dharura wanajaribu kubaini chanzo cha uvujaji …
[Continue Reading...]

Mueka Hazina Wa chama Auawa Na Mtoto wake Kwa Kupigwa Jiwe

trifammediateam April 29, 2023 Swahili, Tanzania No Comments
Mueka Hazina Wa chama Auawa Na Mtoto wake Kwa Kupigwa Jiwe
Mvulana mwenye umri wa miaka 15 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kijiji cha Ngareni, Kata ya Ngoyoni, wilayani Rombo,nchini Tanzania anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumuua mama yake mdogo, Taudensia Massawe …
[Continue Reading...]

Vifo vya Watu Watatu wa Familia Moja Arusha Tanzania

trifammediateam April 25, 2023 Swahili, Tanzania No Comments
Vifo vya Watu Watatu wa Familia Moja Arusha Tanzania
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia kwa ajali leo April 25, 2023. Watatu hao wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wanasafiria aina ya Noah kwenda kwenye shughuli ya …
[Continue Reading...]

Mwanamke Kuzuiliwa Rumande Kwa Siku 10 Kwa Kudaiwa Kumuua Bintiye wa Miaka 2 na Kumla sehemu za mwili wake.

trifammediateam April 25, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Mwanamke Kuzuiliwa Rumande Kwa Siku 10 Kwa Kudaiwa  Kumuua Bintiye wa Miaka 2 na Kumla sehemu za mwili wake.
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipande vipande kwa kisu na kisha kula …
[Continue Reading...]
  • Previous

JUMIA EXPRESS FASHION"

Recent Posts

  • Tamasha la Kuendesha Baiskeli Uchi, Mwaka Huu Litafanyika Agosti 26.
  • Watu kadhaa Wahofiwa Kufariki Kwenye Ajali ya Basi la Shule eneo la Kendu-Homa Bay.
  • Mwili wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara Umepatikana Kichakana
  • Basi La Kampuni ya Climax Lapata Ajali mjini Migori
  • Wanne Wafariki Baada ya Ndege Mbili Kugongana
EVERYTHING ON JUMIA"

Archives

  • May 2023
  • April 2023
  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • January 2022

Categories

  • Business
  • Companies
  • Economy
  • Entertainment News
  • Kenya
  • Sports
  • Swahili
  • Tanzania
  • Tech

trifammedia Copyright © 2023.