Login 0 items - KSh 0.00

trifammedia

Menu
  • Home
  • Entertainment
    • Music
    • Movies
  • Swahili
    • Kenya
    • East Africa
    • World
  • Shop At Trifam
    • Handbags
    • Tshirts
    • Hoods
  • Opinion
  • parenting
  • Business
    • Companies
    • Economy
    • Markets
    • Money
    • Tech
  • Sports

Wachezaji Wawili Wafariki Baada ya Kupigwa na Radi Wakati wa Mechi ya Soka Mjini Kisii

trifammediateam March 12, 2023 Kenya, Sports, Swahili No Comments
Wachezaji Wawili Wafariki Baada ya Kupigwa na Radi Wakati wa Mechi ya Soka Mjini Kisii
Wachezaji wawili wa kandanda waliuawa baada ya kupigwa na radi wakati wa mechi ya kirafiki eneo la Manyansi, eneo bunge la Kitutu Chache Kaskazini, Kaunti ya Kisii. Timu zinazoshindana-Manyansi …
[Continue Reading...]

Mapenzi Chungu Kwa Mwanaume,60, Yaliyosababisha Kifo

trifammediateam March 11, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Mapenzi Chungu Kwa Mwanaume,60, Yaliyosababisha Kifo
Mzee wa miaka 60 huko Mwea, Kaunti ya Kirinyaga, nchini Kenya amejitoa uhai baada ya kudaiwa kugundua mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine wa miaka 24. …
[Continue Reading...]

Mjue Mbunge wa Kwanza Mwanamke nchini Kenya.

trifammediateam March 9, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Mjue Mbunge wa Kwanza Mwanamke nchini Kenya.
Mbunge wa kwanza mwanamke nchini Kenya baada ya uhuru Mbunge Grace Onyango alifariki Jumatano, Machi 8. Binti yake Pauline Akwacha alithibitisha kuwa marehemu Mama Onyango alifariki akiwa na umri …
[Continue Reading...]

Mwalimu aliyekiri kunyonga wanawe 4 Naivasha-Kenya ahukumiwa maisha Jela.

trifammediateam March 2, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Mwalimu aliyekiri kunyonga wanawe 4 Naivasha-Kenya ahukumiwa maisha Jela.
Mwalimu wa kike aliyewanyonga watoto wake wanne huko Naivasha Kenya miaka miwili iliyopita amehukumiwa na Mahakama Kuu kifungo cha maisha jela . Beatrice Mwende, ambaye alikuwa mwalimu wa Hisabati, alikuwa ameshtakiwa …
[Continue Reading...]

Afisa wa Polisi wa Trafiki Afariki Baada ya Dereva Kumkanyaga, Mombasa

trifammediateam February 28, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Afisa wa Polisi wa Trafiki Afariki Baada ya Dereva Kumkanyaga, Mombasa
  Afisa wa polisi wa trafiki mjini Mombasa ameaga dunia baada ya dereva aliyejaribu kukwepa kituo cha trafiki kumkanyaga Kwa gari. Kulingana na ripoti ya polisi mnamo Jumanne, Julius …
[Continue Reading...]

Afisa wa Polisi Amuua Afisa Mwenzake Kwa Kumfyatulia Risasi Migori.

trifammediateam February 20, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Afisa wa Polisi Amuua Afisa Mwenzake Kwa Kumfyatulia Risasi  Migori.
Afisa wa polisi alikamatwa Jumapili dakika chache baada ya kumpiga risasi na kumuua mwenzake katika maeneo ya Awendo, kwenye kaunti ya Migori. Inadaiwa alimuua anayefanya kazi nae katika eneo la kuhifadhia …
[Continue Reading...]

Gari Lilobeba Mwili Wa Marehemu Lagongana Na Lori Na Kujua Watu 17 Tanga

trifammediateam February 4, 2023 Swahili, Tanzania No Comments
Gari Lilobeba Mwili Wa Marehemu Lagongana Na Lori Na Kujua Watu 17 Tanga
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4, 2023 wilayani Korogwe mkoani Tanga nchini Tanzania. Katika taarifa …
[Continue Reading...]

Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24.

trifammediateam January 24, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24. Magoha mwenye umri wa miaka 71 alikata roho katika Hospitali ya Nairobi alikokuwa akipatiwa matibabu. Kulingana na mawasiliano …
[Continue Reading...]

BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA

trifammediateam December 31, 2022 Swahili No Comments
BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA
Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook …
[Continue Reading...]

Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu Atangaza Matokeo ya KCPE 2022 Na Kuweka Wazi kuhusu KPSEA 2022.

trifammediateam December 21, 2022 Kenya, Swahili No Comments
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu Atangaza Matokeo ya KCPE 2022 Na Kuweka Wazi kuhusu KPSEA 2022.
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu mnamo Jumatano, Desemba 21, alitoa matokeo ya Mtihani wa darasa la nane 2022 (KCPE). Akizungumza katika ukumbi wa Mtihani House, Machogu alitangaza kuwa zaidi ya wanafunzi …
[Continue Reading...]
  • Previous

JUMIA EXPRESS FASHION"

Recent Posts

  • Wachezaji Wawili Wafariki Baada ya Kupigwa na Radi Wakati wa Mechi ya Soka Mjini Kisii
  • Mapenzi Chungu Kwa Mwanaume,60, Yaliyosababisha Kifo
  • Mjue Mbunge wa Kwanza Mwanamke nchini Kenya.
  • Mwalimu aliyekiri kunyonga wanawe 4 Naivasha-Kenya ahukumiwa maisha Jela.
  • Afisa wa Polisi wa Trafiki Afariki Baada ya Dereva Kumkanyaga, Mombasa
EVERYTHING ON JUMIA"

Archives

  • March 2023
  • February 2023
  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • January 2022

Categories

  • Business
  • Companies
  • Economy
  • Entertainment News
  • Kenya
  • Sports
  • Swahili
  • Tanzania
  • Tech

trifammedia Copyright © 2023.