Tamasha la kuendesha baiskeli uchi, mwaka Huu litafanyika Agosti 26. Tamasha hilo la kuendesha baiskeli uchi la Philly katika jimbo la Philadelphia la Marekani utafanyika Agosti 26. Waandalizi wa …
Watu kadhaa wahofiwa kufariki baada ya ajali mbaya kutokea kwenye makutano ya Pala-Homa Hills kwenye barabara kuu ya Kendu-Homa Bay mnamo Ijumaa, Mei 5. Basi la shule liliripotiwa kubingiria …
Mwili wa mwanafunzi wa kike wa Chuo Kikuu cha Maasai Mara mwenye umri wa miaka 20 umegunduliwa ukiwa kwenye kichaka mita chache kutoka katika taasisi hiyo iliyoko Narok. Kulingana na …
Basi la abiria kampuni ya Climax limehusika katika ajali asubuhi ya leo Mei 2,2023 Migori,Kenya . Basi hilo la Climax Coaches lililo na maandishi ’THE DEVIL AWAY’ linalofanya safari …
Ndege mbili ziligongana karibu na uwanja wa ndege kaskazini mashariki mwa Uhispania siku ya Jumapili, na kuua abiria wanne. Wazima moto walipata ndege moja ikiwaka moto katika eneo la …
Mamlaka ya Kitaifa ya Barabara Kuu ya Kenya, KeNHA, ilifunga barabara Kuu ya Mai Mahiu-Narok Jumapili 30 Aprili,2023. Kufungwa huko kulitokana na ufa mkubwa uliotokea Kilomita sita kutoka Mji wa …
Takriban watu 11 wamefariki kufuatia kuvuja kwa gesi kaskazini mwa India, katika mji wa bandari wa Ludhiana katika jimbo la Punjab. Wafanyakazi wa dharura wanajaribu kubaini chanzo cha uvujaji …
Mvulana mwenye umri wa miaka 15 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kijiji cha Ngareni, Kata ya Ngoyoni, wilayani Rombo,nchini Tanzania anashikiliwa na Polisi akidaiwa kumuua mama yake mdogo, Taudensia Massawe …
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia kwa ajali leo April 25, 2023. Watatu hao wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wanasafiria aina ya Noah kwenda kwenye shughuli ya …
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipande vipande kwa kisu na kisha kula …