Login 0 items - KSh 0.00

trifammedia

Menu
  • Home
  • Entertainment
    • Music
    • Movies
  • Swahili
    • Kenya
    • East Africa
    • World
  • Shop At Trifam
    • Handbags
    • Tshirts
    • Hoods
  • Opinion
  • parenting
  • Business
    • Companies
    • Economy
    • Markets
    • Money
    • Tech
  • Sports

Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24.

trifammediateam January 24, 2023 Kenya, Swahili No Comments
Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24. Magoha mwenye umri wa miaka 71 alikata roho katika Hospitali ya Nairobi alikokuwa akipatiwa matibabu. Kulingana na mawasiliano …
[Continue Reading...]

BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA

trifammediateam December 31, 2022 Swahili No Comments
BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA
Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook …
[Continue Reading...]

Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu Atangaza Matokeo ya KCPE 2022 Na Kuweka Wazi kuhusu KPSEA 2022.

trifammediateam December 21, 2022 Kenya, Swahili No Comments
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu Atangaza Matokeo ya KCPE 2022 Na Kuweka Wazi kuhusu KPSEA 2022.
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu mnamo Jumatano, Desemba 21, alitoa matokeo ya Mtihani wa darasa la nane 2022 (KCPE). Akizungumza katika ukumbi wa Mtihani House, Machogu alitangaza kuwa zaidi ya wanafunzi …
[Continue Reading...]

Matokeo ya Mtihani wa KCPE wa 2022 kutangazwa wiki kesho

trifammediateam December 12, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Matokeo ya Mtihani wa KCPE wa 2022 kutangazwa wiki kesho</strong>
Waziri wa elimu nchini Kenya,Ezekiel Machogu ameweka wazi kuwa matokeo ya mitihani ya darasa la nane KCPE iliyokamilika mwanzoni mwa mwezi wa Desemba yatatangazwa wiki kesho. Machogu alisema kuwa wizara yake …
[Continue Reading...]

Mmoja wa washukiwa waliotengeneza bomu lililolipua ndege angani amekamatwa.

trifammediateam December 12, 2022 Swahili No Comments
Mmoja wa washukiwa waliotengeneza bomu lililolipua ndege angani amekamatwa.
Mwanamume mmoja raia wa Libya anayetuhumiwa kutengeneza bomu lililoharibu ndege ya Shirika la Pan Am Disemba 21, 1988, amekamatwa nchini Marekani. Ndege hiyo, Boeing 747, ilikuwa ikielekea New York kutoka London  ililipuka ikiwa angani …
[Continue Reading...]

Tshala Muana Mwanamziki Mkongwe Aaga Dunia

trifammediateam December 10, 2022 Entertainment News, Swahili No Comments
<strong>Tshala Muana Mwanamziki Mkongwe Aaga Dunia</strong>
Msanii mkongwe wa miziki aina ya Rhumba kutoka taifa la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Tshala Muana ameaga dunia. Taarifa hizo za tanzia kutoka taifa hilo zilisambazwa kote duniani …
[Continue Reading...]

Amuua kakake baada ya kupigana, kugombania dada yao waliokuwa na uhusiano wa kimapenzi nae

trifammediateam December 6, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Amuua kakake baada ya kupigana, kugombania dada yao waliokuwa na uhusiano wa kimapenzi nae</strong>
Maafisa wa Upelelezi wanamsaka mwanamume wa umri wa miaka 31 ambaye anadaiwa kumuua kakake mkubwa katika kisa cha madai ya ugomvi wa kimapenzi unaohusisha dada yao mdogo katika eneo la …
[Continue Reading...]

Journalists’ cry to Kenya Kwanza Government

trifammediateam December 5, 2022 Kenya No Comments
Journalists’ cry to Kenya Kwanza Government
Members of the Fourth Estate have called upon the national government to intervene and bail out some media houses going through restructuring to cope with the turbulent economic times. …
[Continue Reading...]

Wanawake watatu wapigwa na radi hadi kufa Vihiga

trifammediateam December 5, 2022 Kenya, Swahili No Comments
<strong>Wanawake watatu wapigwa na radi hadi kufa Vihiga</strong>
Wanawake watatu kutoka Lwanda,kaunti ya Vihiga wamepigwa na radhi hadi kufa . Mvua kubwa ilikuwa inanyesha hivyo wanawake hao walikuwa kwenye kibanda kando ya barabara wakati tukio hilo lilitokea siku ya …
[Continue Reading...]

Akamatwa Kwa kushambulia maiti

trifammediateam November 29, 2022 Kenya, Swahili No Comments
Akamatwa Kwa kushambulia maiti
Polisi wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 30 anayesemekana kuwa ndiye mpangaji mkuu wa shambulio baya la maiti na gari la kubebea maiti la Yatta Funeral Home iliyoko Machakos …
[Continue Reading...]
  • Previous

JUMIA EXPRESS FASHION"

Recent Posts

  • Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24.
  • BABA MTAKATIFU MSTAAFU BENEDIKTO XVI AFARIKI DUNIA
  • Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu Atangaza Matokeo ya KCPE 2022 Na Kuweka Wazi kuhusu KPSEA 2022.
  • Matokeo ya Mtihani wa KCPE wa 2022 kutangazwa wiki kesho
  • Mmoja wa washukiwa waliotengeneza bomu lililolipua ndege angani amekamatwa.
EVERYTHING ON JUMIA"

Archives

  • January 2023
  • December 2022
  • November 2022
  • October 2022
  • September 2022
  • August 2022
  • July 2022
  • June 2022
  • May 2022
  • April 2022
  • March 2022
  • February 2022
  • January 2022

Categories

  • Business
  • Companies
  • Economy
  • Entertainment News
  • Kenya
  • Sports
  • Swahili
  • Tanzania
  • Tech

trifammedia Copyright © 2023.