Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24. Magoha mwenye umri wa miaka 71 alikata roho katika Hospitali ya Nairobi alikokuwa akipatiwa matibabu. Kulingana na mawasiliano …
Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook …
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu mnamo Jumatano, Desemba 21, alitoa matokeo ya Mtihani wa darasa la nane 2022 (KCPE). Akizungumza katika ukumbi wa Mtihani House, Machogu alitangaza kuwa zaidi ya wanafunzi …
Waziri wa elimu nchini Kenya,Ezekiel Machogu ameweka wazi kuwa matokeo ya mitihani ya darasa la nane KCPE iliyokamilika mwanzoni mwa mwezi wa Desemba yatatangazwa wiki kesho. Machogu alisema kuwa wizara yake …
Mwanamume mmoja raia wa Libya anayetuhumiwa kutengeneza bomu lililoharibu ndege ya Shirika la Pan Am Disemba 21, 1988, amekamatwa nchini Marekani. Ndege hiyo, Boeing 747, ilikuwa ikielekea New York kutoka London ililipuka ikiwa angani …
Msanii mkongwe wa miziki aina ya Rhumba kutoka taifa la Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Tshala Muana ameaga dunia. Taarifa hizo za tanzia kutoka taifa hilo zilisambazwa kote duniani …
Maafisa wa Upelelezi wanamsaka mwanamume wa umri wa miaka 31 ambaye anadaiwa kumuua kakake mkubwa katika kisa cha madai ya ugomvi wa kimapenzi unaohusisha dada yao mdogo katika eneo la …
Members of the Fourth Estate have called upon the national government to intervene and bail out some media houses going through restructuring to cope with the turbulent economic times. …
Wanawake watatu kutoka Lwanda,kaunti ya Vihiga wamepigwa na radhi hadi kufa . Mvua kubwa ilikuwa inanyesha hivyo wanawake hao walikuwa kwenye kibanda kando ya barabara wakati tukio hilo lilitokea siku ya …
Polisi wamemkamata mwanamume mwenye umri wa miaka 30 anayesemekana kuwa ndiye mpangaji mkuu wa shambulio baya la maiti na gari la kubebea maiti la Yatta Funeral Home iliyoko Machakos …