Wachezaji wawili wa kandanda waliuawa baada ya kupigwa na radi wakati wa mechi ya kirafiki eneo la Manyansi, eneo bunge la Kitutu Chache Kaskazini, Kaunti ya Kisii. Timu zinazoshindana-Manyansi …
Mzee wa miaka 60 huko Mwea, Kaunti ya Kirinyaga, nchini Kenya amejitoa uhai baada ya kudaiwa kugundua mkewe alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine wa miaka 24. …
Mbunge wa kwanza mwanamke nchini Kenya baada ya uhuru Mbunge Grace Onyango alifariki Jumatano, Machi 8. Binti yake Pauline Akwacha alithibitisha kuwa marehemu Mama Onyango alifariki akiwa na umri …
Mwalimu wa kike aliyewanyonga watoto wake wanne huko Naivasha Kenya miaka miwili iliyopita amehukumiwa na Mahakama Kuu kifungo cha maisha jela . Beatrice Mwende, ambaye alikuwa mwalimu wa Hisabati, alikuwa ameshtakiwa …
Afisa wa polisi wa trafiki mjini Mombasa ameaga dunia baada ya dereva aliyejaribu kukwepa kituo cha trafiki kumkanyaga Kwa gari. Kulingana na ripoti ya polisi mnamo Jumanne, Julius …
Afisa wa polisi alikamatwa Jumapili dakika chache baada ya kumpiga risasi na kumuua mwenzake katika maeneo ya Awendo, kwenye kaunti ya Migori. Inadaiwa alimuua anayefanya kazi nae katika eneo la kuhifadhia …
Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4, 2023 wilayani Korogwe mkoani Tanga nchini Tanzania. Katika taarifa …
Aliyekuwa Waziri wa Elimu Prof George Magoha alifariki Jumanne, Januari 24. Magoha mwenye umri wa miaka 71 alikata roho katika Hospitali ya Nairobi alikokuwa akipatiwa matibabu. Kulingana na mawasiliano …
Baba Mtakatifu Mstaafu Benedikto XVI (95) amefariki dunia leo Jumamosi Desemba 31,2022 majira ya saa tatu na dakika 34 asubuhi. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa Facebook …
Waziri wa Elimu Ezekiel Machogu mnamo Jumatano, Desemba 21, alitoa matokeo ya Mtihani wa darasa la nane 2022 (KCPE). Akizungumza katika ukumbi wa Mtihani House, Machogu alitangaza kuwa zaidi ya wanafunzi …